Methali 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+ Methali 26:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mvivu amesema: “Kuna mwana-simba njiani, simba katikati ya viwanja vya watu wote.”+
24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+