Methali 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+ 1 Wathesalonike 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi;
4 Mvivu anajionyesha kutamani, lakini nafsi yake haina chochote.+ Hata hivyo, nafsi ya wenye bidii itanoneshwa.+
11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi;