Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+

  • Kumbukumbu la Torati 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki;

  • Kumbukumbu la Torati 12:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ikiwa mahali ambapo Yehova Mungu wako atachagua kuweka jina lake+ hapo patakuwa mbali nawe, basi utachinja sehemu ya mifugo yako au sehemu ya kundi lako ambalo Yehova amekupa wewe, kama vile ambavyo nimekuamuru wewe, nawe utakula ndani ya malango yako wakati wowote ambapo nafsi yako inaitamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki