-
2 Mambo ya Nyakati 14:2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Na Asa akafanya yaliyokuwa mema na sawa machoni pa Yehova Mungu wake.
-
-
2 Mambo ya Nyakati 14:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Naye Asa akaanza kumwita Yehova Mungu+ wake, na kusema: “Ee Yehova, kwa habari ya kusaidia, si kitu kwako kama kuna wengi au wale wasio na nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana sisi tunakuegemea wewe,+ nasi kwa jina lako+ tumekuja kupigana na umati huu. Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu.+ Usiache mwanadamu anayeweza kufa apate nguvu juu yako.”+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 15:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Na mara tu Asa alipoyasikia maneno hayo na unabii wa Odedi+ nabii, akajipa moyo, akaondoa kabisa machukizo+ katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na katika majiji aliyokuwa ameteka kutoka katika eneo lenye milima la Efraimu,+ na kuifanya upya madhabahu ya Yehova iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Yehova.+
-