2 Mambo ya Nyakati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye, mkono wa nyama uko pamoja naye,+ lakini sisi, Yehova Mungu wetu yuko pamoja nasi+ ili kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Na watu wakaanza kujitegemeza juu ya maneno ya Hezekia mfalme wa Yuda.+ Zaburi 37:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mkabidhi Yehova njia yako,+Na kumtegemea,+ naye mwenyewe atatenda.+ Zaburi 55:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mtupie Yehova mzigo wako,+Naye mwenyewe atakutegemeza.+Hatamwacha kamwe mwadilifu atikisike.+
8 Yeye, mkono wa nyama uko pamoja naye,+ lakini sisi, Yehova Mungu wetu yuko pamoja nasi+ ili kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Na watu wakaanza kujitegemeza juu ya maneno ya Hezekia mfalme wa Yuda.+