Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mkabidhi Yehova njia yako,+

      Na kumtegemea,+ naye mwenyewe atatenda.+

  • Zaburi 43:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa nini umekata tamaa, Ee nafsi yangu,+

      Na kwa nini una msukosuko ndani yangu?

      Mngojee Mungu,+

      Kwa maana bado nitamsifu kuwa ndiye wokovu wangu mkuu na kuwa ndiye Mungu wangu.+

  • Isaya 50:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ni nani kati yenu anayemwogopa+ Yehova, akiisikiliza sauti ya mtumishi wake,+ ambaye ametembea katika giza+ lenye kudumu na ambaye kwa ajili yake kumekuwa hakuna mwangaza? Na alitegemee jina la Yehova+ na kujitegemeza juu ya Mungu wake.+

  • Wafilipi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Msihangaike juu ya kitu chochote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua+ pamoja na kutoa shukrani maombi yenu na yajulishwe Mungu;+

  • 1 Petro 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 huku mkitupa mahangaiko+ yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki