1 Samweli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+ Zaburi 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+
6 Naye Daudi akataabika sana,+ kwa sababu watu walisema apigwe kwa mawe;+ kwa maana nafsi za watu wote zilikuwa zimeingiwa na uchungu;+ kila mmoja kwa sababu ya wanawe na binti zake. Basi Daudi akajitia nguvu kwa Yehova Mungu wake.+
7 Yehova ni nguvu+ zangu na ngao+ yangu.Moyo wangu umemtegemea yeye,+Nami nimesaidiwa, hivi kwamba moyo wangu unashangilia,+Nami nitamsifu kwa wimbo wangu.+