Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya mambo hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono,+ na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+

  • 2 Samweli 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,

      Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,

      Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+

  • Zaburi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Na bado wewe, Ee Yehova, ni ngao inayonizunguka,+

      Utukufu+ wangu na Mwenye kuinua kichwa changu.+

  • Zaburi 84:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Yehova Mungu ni jua+ na ngao;+

      Yeye hutoa kibali na utukufu.+

      Yehova mwenyewe hatawanyima jambo lolote jema wale wanaotembea bila kosa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki