Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wakati alipoangaza taa yake juu ya kichwa changu,

      Nilipotembea katikati ya giza kwa nuru yake;+

  • Zaburi 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+

      Siogopi chochote kibaya,+

      Kwa maana wewe uko pamoja nami;+

      Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+

  • Isaya 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Watu waliokuwa wakitembea katika giza wameona nuru kuu.+ Kwa habari ya wale wanaokaa katika nchi yenye kivuli kizito,+ nuru imewaangazia.+

  • Isaya 59:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki