Ayubu 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati alipoangaza taa yake juu ya kichwa changu,Nilipotembea katikati ya giza kwa nuru yake;+ Zaburi 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi chochote kibaya,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+ Isaya 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watu waliokuwa wakitembea katika giza wameona nuru kuu.+ Kwa habari ya wale wanaokaa katika nchi yenye kivuli kizito,+ nuru imewaangazia.+ Isaya 59:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+
4 Hata ingawa ninatembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi chochote kibaya,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako ndivyo vitu vinavyonifariji.+
2 Watu waliokuwa wakitembea katika giza wameona nuru kuu.+ Kwa habari ya wale wanaokaa katika nchi yenye kivuli kizito,+ nuru imewaangazia.+
9 Ndiyo sababu haki imekuwa mbali sana nasi, na uadilifu hautufikii. Tunaendelea kutumainia nuru, lakini, tazama! giza; kutumainia mwangaza, lakini tukazidi kutembea katika weusi unaoendelea.+