Mhubiri 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana nilitia yote haya moyoni mwangu, na kutafuta yote haya,+ kwamba waadilifu na wenye hekima na kazi zao, wako katika mkono wa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo wala chuki ambazo zimekuwa kabla yao.+ Maombolezo 3:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi, ni nani amesema kwamba jambo litokee wakati Yehova mwenyewe hakuamuru?+ Yakobo 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Badala yake, mnapaswa kusema: “Yehova akipenda,+ tutaishi na pia kufanya hili au lile.”+
9 Kwa maana nilitia yote haya moyoni mwangu, na kutafuta yote haya,+ kwamba waadilifu na wenye hekima na kazi zao, wako katika mkono wa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo wala chuki ambazo zimekuwa kabla yao.+