Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa maana nilitia yote haya moyoni mwangu, na kutafuta yote haya,+ kwamba waadilifu na wenye hekima na kazi zao, wako katika mkono wa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo wala chuki ambazo zimekuwa kabla yao.+

  • Maombolezo 3:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Basi, ni nani amesema kwamba jambo litokee wakati Yehova mwenyewe hakuamuru?+

  • Yakobo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Badala yake, mnapaswa kusema: “Yehova akipenda,+ tutaishi na pia kufanya hili au lile.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki