Zaburi 33:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana yeye mwenyewe alisema, na ikawa hivyo;+Yeye mwenyewe alitoa amri, nayo ikasimama hivyo.+ Methali 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Huenda moyo wa mtu wa udongo ukaifikiria njia yake,+ lakini Yehova ndiye huzielekeza hatua zake.+ Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mna mipango mingi katika moyo wa mwanadamu,+ lakini shauri la Yehova ndilo litakalosimama.+ Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+
10 Yeye anayetangaza tangu mwanzo ule mwisho,+ na kutoka zamani za kale mambo ambayo hayajafanywa;+ Yeye anayesema, ‘Shauri langu mwenyewe litasimama,+ na kila jambo ambalo ni mapenzi yangu nitafanya’;+