Zaburi 135:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+ Isaya 55:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+ Waebrania 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,
6 Kila kitu ambacho Yehova alipendezwa kufanya, amefanya+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote vya maji.+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
17 Vivyo hivyo Mungu, alipokusudia kuwaonyesha kwa wingi zaidi warithi+ wa ile ahadi kule kutobadilika+ kwa shauri lake, aliingilia kati kwa kiapo,