Mhubiri 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo nikatia moyoni mambo hayo yote na kufikia mkataa wa kwamba waadilifu na wenye hekima, na pia kazi zao, zimo mikononi mwa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo na chuki iliyokuwepo kabla yao. Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:1 Mnara wa Mlinzi,9/15/1987, uku. 25
9 Kwa hiyo nikatia moyoni mambo hayo yote na kufikia mkataa wa kwamba waadilifu na wenye hekima, na pia kazi zao, zimo mikononi mwa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo na chuki iliyokuwepo kabla yao.