Mhubiri 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana nilitia yote haya moyoni mwangu, na kutafuta yote haya,+ kwamba waadilifu na wenye hekima na kazi zao, wako katika mkono wa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo wala chuki ambazo zimekuwa kabla yao.+ Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:1 Mnara wa Mlinzi,9/15/1987, uku. 25
9 Kwa maana nilitia yote haya moyoni mwangu, na kutafuta yote haya,+ kwamba waadilifu na wenye hekima na kazi zao, wako katika mkono wa Mungu wa kweli.+ Wanadamu hawajui upendo wala chuki ambazo zimekuwa kabla yao.+