1 Samweli 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+ Zaburi 68:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na abarikiwe Yehova, ambaye hutubebea mzigo wetu kila siku,+Mungu wa kweli wa wokovu wetu.+ Sela. 1 Petro 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+
9 Yeye hulinda miguu ya washikamanifu wake;+Lakini kwa habari ya waovu, wao wananyamazishwa katika giza,+Kwa maana si kwamba mwanadamu hushinda kwa ukuu wa nguvu.+
5 mnaolindwa kwa nguvu za Mungu kupitia imani+ kwa ajili ya wokovu+ ulio tayari kufunuliwa+ katika kipindi cha mwisho cha wakati.+