Zaburi 91:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+Ili kukulinda katika njia zako zote.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+ Zaburi 121:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawezi kamwe kuruhusu mguu wako utikisike.+Yeye anayekulinda hawezi kamwe kusinzia.+ Methali 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa kushika mapito ya hukumu,+ naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+ Luka 1:79 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”