Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 91:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana atawaamuru malaika zake kukuhusu wewe,+

      Ili kukulinda katika njia zako zote.+

  • Zaburi 97:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+

      Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+

      Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+

  • Zaburi 121:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hawezi kamwe kuruhusu mguu wako utikisike.+

      Yeye anayekulinda hawezi kamwe kusinzia.+

  • Methali 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa kushika mapito ya hukumu,+ naye atailinda njia ya washikamanifu wake.+

  • Luka 1:79
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 kuwapa nuru wale wanaokaa katika giza na katika kivuli+ cha kifo, kuelekeza kwa mafanikio miguu yetu katika njia ya amani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki