2 Mambo ya Nyakati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye anategemea mkono wa nyama* lakini sisi tuna Yehova Mungu wetu wa kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Basi watu wakaimarishwa na maneno ya Mfalme Hezekia wa Yuda.+
8 Yeye anategemea mkono wa nyama* lakini sisi tuna Yehova Mungu wetu wa kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Basi watu wakaimarishwa na maneno ya Mfalme Hezekia wa Yuda.+