5 Yehova amesema hivi: “Amelaaniwa yule mtu hodari anayemtegemea mtu wa udongo+ na kwa kweli kuufanya mwili wa nyama kuwa mkono wake,+ na ambaye moyo wake unamwacha Yehova.+
4 Ninyi mnatokana na Mungu, watoto wadogo, nanyi mmewashinda watu hao,+ kwa sababu yeye aliye katika muungano+ na ninyi ni mkuu+ kuliko yeye aliye katika muungano na ulimwengu.+