-
1 Samweli 20:29Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
29 Aliniambia, ‘Tafadhali niruhusu niende, kwa sababu tuna dhabihu ya familia jijini, na ndugu yangu mwenyewe aliniita. Basi ikiwa nimepata kibali machoni pako, tafadhali acha niende kisiri nikawaone ndugu zangu.’ Ndiyo sababu hajaja kwenye meza ya mfalme.”
-