Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi akatuma watu, naye akaletwa. Naye alikuwa mwekundu,+ kijana mwenye macho yenye kupendeza na mwenye sura nzuri. Ndipo Yehova akasema: “Simama, mtie mafuta, kwa maana huyu ndiye!”+

  • 2 Samweli 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo watu wa Yuda+ wakaja, wakamtia Daudi mafuta+ hapo awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.+

      Nao wakaja kumwambia Daudi, wakisema: “Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.”

  • Zaburi 89:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nimemwona Daudi mtumishi wangu;+

      Kwa mafuta yangu matakatifu nimemtia mafuta,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki