Mathayo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yakobo akamzaa Yosefu mume wa Maria, ambaye kwake Yesu alizaliwa,+ anayeitwa Kristo.+ Mathayo 13:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda? Luka 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yosefu pia akapanda kutoka Galilaya, kutoka jiji la Nazareti, akaingia Yudea, kwenye jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa mshiriki wa nyumba na familia ya Daudi,+
55 Je, huyu si mwana wa yule seremala?+ Je, mama yake haitwi Maria, na ndugu zake Yakobo na Yosefu na Simoni na Yuda?
4 Yosefu pia akapanda kutoka Galilaya, kutoka jiji la Nazareti, akaingia Yudea, kwenye jiji la Daudi, linaloitwa Bethlehemu,+ kwa sababu alikuwa mshiriki wa nyumba na familia ya Daudi,+