Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Je, huyu si yule seremala+ mwana wa Maria+ na ndugu ya Yakobo+ na Yosefu na Yuda na Simoni?+ Na dada zake wapo hapa pamoja nasi, sivyo?” Kwa hiyo wakaanza kukwazika kwa sababu yake.+

  • Luka 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Tena, Yesu mwenyewe, alipoanza kazi yake,+ alikuwa na umri wa karibu miaka 30,+ akiwa mwana,+ kama alivyoonwa,

      wa Yosefu,+

      mwana wa Heli,

  • Luka 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao wote wakaanza kutoa ushahidi mwema juu yake wakistaajabia maneno yenye kuvutia+ sana yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake, na walikuwa wakisema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+

  • Yohana 6:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 nao wakaanza kusema:+ “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu,+ ambaye baba na mama yake sisi tunawajua? Anawezaje sasa kusema, ‘Mimi nimeshuka kutoka mbinguni’?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki