35 Malaika akamjibu akamwambia: “Roho takatifu+ itakuja juu yako, na nguvu za Aliye Juu Zaidi zitakufunika. Kwa sababu hiyo pia kile kitakachozaliwa kitaitwa kitakatifu,+ Mwana wa Mungu.+
22 Nao wote wakaanza kutoa ushahidi mwema juu yake wakistaajabia maneno yenye kuvutia+ sana yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake, na walikuwa wakisema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+
42 nao wakaanza kusema:+ “Je, huyu si Yesu mwana wa Yosefu,+ ambaye baba na mama yake sisi tunawajua? Anawezaje sasa kusema, ‘Mimi nimeshuka kutoka mbinguni’?”