Isaya 53:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye atapanda kama tawi+ mbele ya mtu, na kama mzizi kutoka katika nchi isiyo na maji. Yeye hana umbo la fahari,+ wala utukufu wowote; nasi tutakapomwona, hana sura ili kwamba tumtamani.+ 1 Wakorintho 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+
2 Naye atapanda kama tawi+ mbele ya mtu, na kama mzizi kutoka katika nchi isiyo na maji. Yeye hana umbo la fahari,+ wala utukufu wowote; nasi tutakapomwona, hana sura ili kwamba tumtamani.+
23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+