Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Akawaambia: “Eliya anakuja kwanza na kurudisha mambo yote;+ lakini kwa nini imeandikwa juu ya Mwana wa binadamu kwamba lazima apatwe na mateso mengi+ na kutendewa kama asiye wa maana?+

  • Yohana 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Alikuwa ulimwenguni,+ nao ulimwengu ulikuja kuwako kupitia kwake,+ lakini ulimwengu haukumjua.

  • Yohana 18:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Basi wakapaaza sauti tena, wakisema: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Basi Baraba alikuwa mnyang’anyi.+

  • Yohana 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yesu akaja nje, akiwa amevaa taji lenye miiba na vazi la nje la zambarau. Naye akawaambia: “Tazameni! Mwanamume!”

  • 1 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mkimjia yeye kama kulijia jiwe lililo hai,+ lililokataliwa,+ ni kweli, na wanadamu,+ bali lililochaguliwa, lenye thamani, kwa Mungu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki