Isaya 53:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama mzizi kutoka katika nchi iliyokauka. Hana umbo la kifahari, wala utukufu wowote;+Na tunapomwona, sura yake haituvutii.* Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 53:2 ip-2 199-200 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 53:2 Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 146 Unabii wa Isaya II, kur. 199-200 “Kila Andiko,” uku. 119
2 Atapanda kama tawi+ mbele yake,* kama mzizi kutoka katika nchi iliyokauka. Hana umbo la kifahari, wala utukufu wowote;+Na tunapomwona, sura yake haituvutii.*