Ayubu 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hata kwa ajili ya mti kuna tumaini.Ukikatwa, utachipuka tena,+Na tawi lake halitakoma. Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litatoka katika kisiki cha Yese;+ na kutoka katika mizizi yake chipukizi+ litazaa.+ Zekaria 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nawe umwambie,“‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+ Wafilipi 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Hapana, bali alijiondolea mwenyewe hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa kama wanadamu.+
12 Nawe umwambie,“‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mtu+ ambaye jina lake ni Chipukizi.+ Naye atachipuka kutoka mahali pake mwenyewe, naye atalijenga hekalu la Yehova.+