Isaya 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na tawi+ litatoka katika kisiki cha Yese;+ na kutoka katika mizizi yake chipukizi+ litazaa.+ Danieli 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “ ‘Na kwa kuwa walisema kisiki cha mti huo kiachwe,+ ufalme wako utakuwa hakika kwako baada ya wewe kujua kwamba mbingu zinatawala.+ Danieli 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mmoja anayetoka katika chipukizi+ la mizizi ya binti huyo atasimama mahali pa mfalme, naye atalijia jeshi na kuja kupigana na ngome ya mfalme wa kaskazini naye atatenda juu yao na kushinda.
26 “ ‘Na kwa kuwa walisema kisiki cha mti huo kiachwe,+ ufalme wako utakuwa hakika kwako baada ya wewe kujua kwamba mbingu zinatawala.+
7 Na mmoja anayetoka katika chipukizi+ la mizizi ya binti huyo atasimama mahali pa mfalme, naye atalijia jeshi na kuja kupigana na ngome ya mfalme wa kaskazini naye atatenda juu yao na kushinda.