Danieli 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, kiacheni kisiki chake katika udongo, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba, katikati ya majani ya mwituni; na acheni kilowane maji ya umande wa mbinguni, fungu lake na liwe pamoja na mnyama katikati ya majani ya nchi.+
15 Hata hivyo, kiacheni kisiki chake katika udongo, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba, katikati ya majani ya mwituni; na acheni kilowane maji ya umande wa mbinguni, fungu lake na liwe pamoja na mnyama katikati ya majani ya nchi.+