Danieli 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini kiacheni kisiki na mizizi yake ardhini kati ya majani ya shambani, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba. Acheni umande wa mbinguni ukiloweshe, na acheni fungu lake liwe pamoja na wanyama, kati ya majani ya dunia.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:15 dp 85-86, 90, 92 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:15 Unabii wa Danieli, kur. 85-86, 90-92 “Kila Andiko,” uku. 140 Amani na Usalama, kur. 71-72
15 Lakini kiacheni kisiki na mizizi yake ardhini kati ya majani ya shambani, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba. Acheni umande wa mbinguni ukiloweshe, na acheni fungu lake liwe pamoja na wanyama, kati ya majani ya dunia.+