Danieli 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, kiacheni kisiki chake katika udongo, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba, katikati ya majani ya mwituni; na acheni kilowane maji ya umande wa mbinguni, fungu lake na liwe pamoja na mnyama katikati ya majani ya nchi.+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:15 dp 85-86, 90, 92 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:15 Unabii wa Danieli, kur. 85-86, 90-92 “Kila Andiko,” uku. 140 Amani na Usalama, kur. 71-72
15 Hata hivyo, kiacheni kisiki chake katika udongo, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba, katikati ya majani ya mwituni; na acheni kilowane maji ya umande wa mbinguni, fungu lake na liwe pamoja na mnyama katikati ya majani ya nchi.+