18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+
3 Na Yehova akaendelea kusema: “Kama vile Isaya mtumishi wangu alivyotembea akiwa uchi na miguu wazi kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili juu ya Misri+ na juu ya Ethiopia,+
24 Na Ezekieli amekuwa ishara kwa ajili yenu.+ Mtatenda kulingana na yote ambayo ametenda. Litakapokuja jambo hili,+ ninyi pia mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ” ’ ”+