Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+

  • Isaya 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Yehova akaendelea kusema: “Kama vile Isaya mtumishi wangu alivyotembea akiwa uchi na miguu wazi kwa miaka mitatu ili kuwa ishara+ na dalili juu ya Misri+ na juu ya Ethiopia,+

  • Ezekieli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Sema, ‘Mimi ni ishara+ kwenu. Kama vile nilivyotenda, ndivyo watakavyotendewa. Wataenda uhamishoni, utekwani.+

  • Ezekieli 24:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Ezekieli amekuwa ishara kwa ajili yenu.+ Mtatenda kulingana na yote ambayo ametenda. Litakapokuja jambo hili,+ ninyi pia mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ” ’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki