6 Katika siku zinazokuja Yakobo atatia mizizi, Israeli+ atachanua maua na kwa kweli achipuke; na kwelikweli wao watajaza matunda juu ya uso wa nchi yenye kuzaa.+
21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+