Zekaria 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 na malaika aliyekuwa akisema nami akaendelea kuniambia: “Paaza sauti, na kusema, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Nimekuwa na wivu, wivu mkubwa, kwa ajili ya Yerusalemu na kwa ajili ya Sayuni.+ Zekaria 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova wa majeshi+ asema hivi, ‘Nitakuwa na wivu mkubwa+ kwa ajili ya Sayuni, nami nitakuwa na wivu kwa ajili yake kwa ghadhabu kubwa.’ ”+
14 na malaika aliyekuwa akisema nami akaendelea kuniambia: “Paaza sauti, na kusema, ‘Yehova wa majeshi amesema hivi: “Nimekuwa na wivu, wivu mkubwa, kwa ajili ya Yerusalemu na kwa ajili ya Sayuni.+
2 “Yehova wa majeshi+ asema hivi, ‘Nitakuwa na wivu mkubwa+ kwa ajili ya Sayuni, nami nitakuwa na wivu kwa ajili yake kwa ghadhabu kubwa.’ ”+