8 “Nawezaje kukuacha, Ee Efraimu?+ Nawezaje kukutoa, Ee Israeli?+ Nawezaje kukufanya uwe kama Adma?+ Nawezaje kukuweka uwe kama Seboiimu?+ Moyo wangu umebadilika ndani yangu;+ na wakati huohuo huruma zangu zimewaka.
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+