Zekaria 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitakuwa na bidii kwa ajili ya Sayuni, bidii nyingi,+ na kwa hasira kali nitakuwa na bidii kwa ajili yake.’” Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:2 w96 1/1 10-11 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:2 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, kur. 2039-2040 Mnara wa Mlinzi,1/1/1996, kur. 10-11
2 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Nitakuwa na bidii kwa ajili ya Sayuni, bidii nyingi,+ na kwa hasira kali nitakuwa na bidii kwa ajili yake.’”