Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+

  • Yeremia 30:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hasira ya Yehova inayowaka haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa amefanya na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Mtalifikiria jambo hilo katika siku za mwisho.+

  • Waroma 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki