18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+
24 Hasira ya Yehova inayowaka haitarudi nyuma mpaka atakapokuwa amefanya na mpaka atakapokuwa ametimiza mawazo ya moyo wake.+ Mtalifikiria jambo hilo katika siku za mwisho.+
5 Hata hivyo, ikiwa ukosefu wetu wa uadilifu unatokeza wazi uadilifu+ wa Mungu, tutasema nini? Je, Mungu hukosa haki+ anapofungulia ghadhabu yake? (Ninasema kama mwanadamu+ anavyosema.)