Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+

      Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+

  • Isaya 1:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, Mwenye Nguvu wa Israeli,+ asema hivi: “Aha! Nitajiondolea wapinzani wangu, nitajilipizia kisasi+ juu ya adui zangu.+

  • Maombolezo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova ametimiza ghadhabu yake.+ Amemwaga hasira yake inayowaka.+

      Naye anawasha moto katika Sayuni, unaoteketeza misingi yake.+

  • Ezekieli 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hasira yangu hakika itafikia mwisho+ wake nami nitaituliza ghadhabu yangu juu yao+ na kujifariji mwenyewe;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema katika kusisitiza kwangu kwamba watu wajitoe kikamili,+ nitakapomaliza ghadhabu yangu juu yao.

  • Luka 19:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Zaidi ya hayo, hao adui zangu ambao hawakutaka niwe mfalme juu yao waleteni hapa mkawaue mbele yangu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki