Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,+

      Kwa maana atalipiza kisasi damu ya watumishi wake,+

      Naye atawalipa kisasi adui zake+

      Naye kwa kweli atafanya upatanisho kwa ajili ya nchi ya watu wake.”

  • Isaya 59:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+

  • Ezekieli 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na hasira yangu hakika itafikia mwisho+ wake nami nitaituliza ghadhabu yangu juu yao+ na kujifariji mwenyewe;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema katika kusisitiza kwangu kwamba watu wajitoe kikamili,+ nitakapomaliza ghadhabu yangu juu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki