18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+
13 Na hasira yangu hakika itafikia mwisho+ wake nami nitaituliza ghadhabu yangu juu yao+ na kujifariji mwenyewe;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema katika kusisitiza kwangu kwamba watu wajitoe kikamili,+ nitakapomaliza ghadhabu yangu juu yao.