Kumbukumbu la Torati 32:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani. Isaya 1:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, Mwenye Nguvu wa Israeli,+ asema hivi: “Aha! Nitajiondolea wapinzani wangu, nitajilipizia kisasi+ juu ya adui zangu.+
36 Kwa maana Yehova atawahukumu watu wake+Naye atajuta juu ya watumishi wake,+Kwa sababu ataona kwamba tegemeo limetowekaNa aliyeko tu ni mtu asiye na uwezo na asiye na thamani.
24 Kwa hiyo Bwana wa kweli, Yehova wa majeshi, Mwenye Nguvu wa Israeli,+ asema hivi: “Aha! Nitajiondolea wapinzani wangu, nitajilipizia kisasi+ juu ya adui zangu.+