Zaburi 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu. Zaburi 96:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+ Waebrania 10:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+
8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.
13 Mbele za Yehova. Kwa maana amekuja;+Kwa maana amekuja kuihukumu dunia.+Ataihukumu kwa uadilifu nchi yenye kuzaa+Na vikundi vya watu kwa uaminifu.+
30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+