Ayubu 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni jambo lisilowaziwa kwangu kwamba niwatangaze ninyi kuwa waadilifu!+Mpaka nitakapokata pumzi, sitajiondolea utimilifu+ wangu! Zaburi 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi nami nitatembea katika utimilifu wangu.+Ee unikomboe+ na kunionyesha kibali.+ Zaburi 41:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 78:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+ Methali 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mtu yeyote aliye maskini ambaye anatembea katika utimilifu ni bora+ kuliko mtu mwenye midomo iliyopotoka, na ambaye ni mjinga.+
5 Ni jambo lisilowaziwa kwangu kwamba niwatangaze ninyi kuwa waadilifu!+Mpaka nitakapokata pumzi, sitajiondolea utimilifu+ wangu!
12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+
72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+
19 Mtu yeyote aliye maskini ambaye anatembea katika utimilifu ni bora+ kuliko mtu mwenye midomo iliyopotoka, na ambaye ni mjinga.+