Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ni jambo lisilowaziwa kwangu kwamba niwatangaze ninyi kuwa waadilifu!+

      Mpaka nitakapokata pumzi, sitajiondolea utimilifu+ wangu!

  • Zaburi 26:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi nami nitatembea katika utimilifu wangu.+

      Ee unikomboe+ na kunionyesha kibali.+

  • Zaburi 41:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+

      Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Zaburi 78:72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 72 Naye akaanza kuwachunga kulingana na utimilifu wa moyo wake,+

      Naye akaanza kuwaongoza kwa ustadi wa mikono yake.+

  • Methali 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mtu yeyote aliye maskini ambaye anatembea katika utimilifu ni bora+ kuliko mtu mwenye midomo iliyopotoka, na ambaye ni mjinga.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki