Kumbukumbu la Torati 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+ Ayubu 40:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+ Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+
25 “Ikiwa mzozo utatokea kati ya watu,+ nao wamejitokeza kwa ajili ya hukumu,+ watawahukumu na kumtangaza mwadilifu kuwa mwadilifu na mwovu kuwa mwovu.+
8 Kwa kweli, je, utaifanya haki yangu kuwa bure?Je, utanitangaza mimi kuwa mwovu ili wewe uwe upande wa haki?+
15 Yeyote anayemtangaza mwovu kuwa mwadilifu+ na yeyote anayemtangaza mwadilifu kuwa mwovu+—wote wawili ni chukizo kwa Yehova.+