Zaburi 51:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+Ili uwe mwadilifu unapoongea,+Ili usiwe na lawama unapohukumu.+ Waroma 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+
4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+Ili uwe mwadilifu unapoongea,+Ili usiwe na lawama unapohukumu.+
4 Hilo lisitendeke kamwe! Bali Mungu na aonekane kuwa wa kweli,+ ingawa kila mwanadamu aonekane kuwa mwongo,+ kama ilivyoandikwa: “Ili uonekane kuwa mwadilifu katika maneno yako na ushinde wakati unapohukumiwa.”+