2 Samweli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni. Zaburi 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana nilisema juu ya kosa langu mwenyewe;+Nikaanza kuhangaikia dhambi yangu.+
9 Kwa nini umelidharau neno la Yehova kwa kufanya yaliyo mabaya+ machoni pake? Uria Mhiti umempiga kwa upanga,+ nawe ukamchukua mke wake awe mke wako,+ naye ukamuua kwa upanga wa wana wa Amoni.