Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 116:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi mwenyewe nilisema, wakati nilipokuwa na wasiwasi mkubwa:+

      “Kila mwanadamu ni mwongo.”+

  • Yeremia 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+

  • Yeremia 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 nao wanaendelea kumchezea kila mmoja rafiki yake;+ nao hawasemi ukweli hata kidogo. Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+ Wamejichosha tu katika kufanya kosa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki