Zaburi 116:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi mwenyewe nilisema, wakati nilipokuwa na wasiwasi mkubwa:+“Kila mwanadamu ni mwongo.”+ Yeremia 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+ Yeremia 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 nao wanaendelea kumchezea kila mmoja rafiki yake;+ nao hawasemi ukweli hata kidogo. Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+ Wamejichosha tu katika kufanya kosa.+
9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+
5 nao wanaendelea kumchezea kila mmoja rafiki yake;+ nao hawasemi ukweli hata kidogo. Wameufundisha ulimi wao kusema uwongo.+ Wamejichosha tu katika kufanya kosa.+