Zaburi 50:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Umefungua kinywa chako kutoa lililo baya,+Na ulimi wako unaushikamanisha na udanganyifu.+ Mika 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+
12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+