Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+ Yakobo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!