3 Kwa maana mikono yenu imetiwa unajisi kwa damu,+ na vidole vyenu kwa kosa. Midomo yenu imesema uwongo.+ Ulimi wenu uliendelea kunong’ona ukosefu wa uadilifu.+
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+