Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+ Zaburi 140:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakika waadilifu watalishukuru jina lako;+Wanyoofu watakaa mbele za uso wako.+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+